بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمن الرَّحيم
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema (Duniani) Mwenye Kurehemu (Akhera)
Hakika sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, tunamsifu, tunamuomba msaada na tunamuomba maghfirah, tunamuomba Atuhifadhi na shari za nafsi zetu, na maovu ya matendo yetu. Anayemuongoza Mwenyezi Mungu hapana wa kumpoteza, na Anayempoteza, hapana wa wa kumuongoza. Nakiri kwamba, hapana apasaye kuabudiwa ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke Yake, hana mshirika, na ninakiri kwamba Muhammad ni mja Wake na ni Mtume Wake. Mwenyezi Mungu Amrehemu na Awarehemu jamaa zake na Maswahaba zake na wanaowafuata hao kwa wema mpaka siku ya malipo na Amsalimishe kwa amani nyingi.
Baada ya yaliyotangulia huu ni ufupi (Mukhtasar) wa kitabu kiitwacho “HISWN AL-MUSLIM MIN ADHKAAR AL-KITAAB WA SUNNAH”
Ninamuomba Mwenyezi Mungu kwa majina Yake mazuri, na sifa Zake zilizo juu, Ajaaliye kazi hii kuwa, imesafika lengo lake, kwa kutaka radhi zake Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Aninufaishe kwa hayo katika uhai wangu huu, na baada ya kufa, na Amnufaishe atakayekisoma, kukichapisha, au aliyekuwa ni sababu ya kukitawanya, hakika Yeye Mwenyezi Mungu Ndiye Muweza.
Mwenyezi Mungu Amrehemu Mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم na Aali zake na Maswahaba wake na wanaowafuata hao, kwa wema mpaka siku ya malipo.بسم الله الرحمن الرحيم
Nel nome di Allah, il Compassionevole (World) Misericordioso (qui di seguito)
In verità ogni lode ad Allah, noi lodiamo, abbiamo cercato aiuto e chiediamo maghfirah, chiediamo Atuhifadhi dal male delle nostre anime e dei mali delle nostre azioni. Anayemuongoza Allah non c'è perdente, e Anayempoteza, nessuno della guida. Ammetto che non c'è dio se non Allah apasaye, lo stato di essere soli, partner, e confesso che Muhammad è il Suo servo e il Suo Messaggero. Allah benedica e mostrare l'amore alla sua famiglia e ai suoi compagni e coloro che li hanno seguiti nel bene fino al Giorno del Giudizio e Amsalimishe più tranquilla.
Dopo questo prologo è breve (semplificazione) del libro "HISWN AL-MUSULMANI MIN ADHKAAR Kitaab al-Sunnah"
Ninamuomba Allah dai Suoi Nomi piacevole, e la sua lode da sopra, Ajaaliye funzionano questo sarà, imesafika il suo obiettivo, per il piacere dell'Onnipotente Dio Onnipotente, e Aninufaishe con essa nella mia vita, questo, e dopo la sua morte, e Amnufaishe leggerà, kukichapisha , o che è stata la causa di kukitawanya, sicuramente Egli è Allah, il Potente.
Allah benedica il nostro Profeta Muhammad صلى الله عليه وسلم e la sua Aal ei suoi compagni e coloro che li hanno seguiti, per il bene fino al Giorno del Giudizio.